Bunifu za kilimo zapewa kipaumbele bajeti 2026/27

ARUSHA: NAIBU Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi amekiagiza Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC ) kuendeleza bunifu zitakazowezesha kilimo kuwa na mvuto wakati serikali ikiendelea kusukuma nguvu katika mpango wa bajeti 2026/27.

Katambi ametoa agizo hilo jijini Arusha wakati alipofanya ziara ya kutembelea kituo hicho na kujionea zana mbalimbali za kilimo yanayowasaidia wakulima maeneo mbalimbali nchini kujikwamua kiuchumi na kuona kuwa kilimo ni ajira.

Amesisitiza kituo hicho kuendelea kuweka vituo mbalimbali vya matumizi ya zana za kilimo ili kujua mahitaji ya wakulima ikiwemo mfumo rahisi wa ukodishaji kwa wakulima haswa katika mazao ya na mahindi, ufuta, dengu na nk.

Wakati huo huo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Camartec, Mhandisi Godfrey Mwinama ametaja baadhi ya changamoto kuwa ni kukosekana kwa maabara sahihi za kufanya majaribii ya zana za kilimo na teknolojia vijijini, kukosekana kwa karakana za uzalishaji, uchakavu wa mashine za karakana ni baadhi ya changamoto wanazokumbana nazo.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. Ni msimu wa sikukuu na tumekusogezea ofa za kibabe na sio za kukosa. Ingia sehemu ya “Offer Zone” kuagiza sasa! https://s.duka.direct/8sxud says:

    6.6 PROGRAMU ZA KIELELEZO

    Mpango Elekezi 2050 umeainisha miradi 14 ya kielelezo. Miradi hii inalenga kuleta mageuzi ya viwanda nchini. Pia, itachochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali na uchumi wa kijani. Itasaidia kukuza nguvukazi yenye ujuzi na maarifa ya kisasa. Aidha, miradi hii inalenga kuongeza ushindani wa Tanzania katika masoko ya kikanda na kimataifa. Miradi hiyo imepangwa kama ifuatavyo:

    NO PROGRAMME

    1 Mageuzi ya Viwanda kwa Ukuaji wa Uchumi

    2 Ujumuishaji wa Sekta ya Madini kwa Maendeleo ya Viwanda na Uchumi wa Kijani

    3 Ubunifu wa Kidijitali na Miundombinu Mahiri kwa Ukuaji wa Siku za Usoni

    4 Ujenzi wa Uhimilivu wa Tabianchi na Uchumi Endelevu wa Kijani

    5 Kuendeleza Miundombinu na Muunganisho wa Usafiri kwa Tanzania kuwa Kitovu cha Kikanda

    6 Mageuzi ya Sekta ya Nishati kwa Umeme Safi na Endelevu

    7 Kukuza nguvukazi yenye Afya, Elimu na Ujuzi

    8 Kuimarisha Utawala Bora, Uwajibikaji na Mifumo ya Udhibiti

    9 Kuendeleza Miji Mahiri na Miundombinu Endelevu ya Mijini

    10 Kuchochea Biashara, Uwekezaji na Upanuzi wa Uchumi

    11 Kupanua Sekta ya Utalii na Uchumi wa Utamaduni

    12 Kubadilisha Sekta ya Kilimo na Uchumi wa Vijijini

    13 Kuboresha Elimu, Utafiti na Ubunifu wa Kiteknolojia

    14 Mageuzi ya Kifedha ya Kidijitali na Jumuishi

  2. ★彡[𝐍𝐄𝐄𝐃 𝐏𝐄𝐎𝐏𝐋𝐄 𝐅𝐎𝐑 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝐓𝐈𝐌𝐄 𝐎𝐍𝐋𝐈𝐍𝐄 𝐖𝐎𝐑𝐊]彡★

    Start making cash right now… I get paid over $220 per hour working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my befst friend earns over $19,000 a month doing this and she convinced me to try. ift was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by visiting Following Link…

    𝐇𝐞𝐫𝐞 𝐢𝐬 𝐈 𝐬𝐭𝐚𝐫𝐭𝐞𝐝=========> https://bs786s.blogspot.com/

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button