Uchumi

Majaliwa: Mitaala izingatie mabadiliko ya kiuchumi, kiteknolojia

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kuwa mitaala inayoandaliwa ihakikishe inazingatia mabadiliko ya kiuchumi na maendeleo ya kiteknolojia. Amesema hayo leo…

Soma Zaidi »

Majaliwa afungua kongamano la maendeleo ya biashara, uchumi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Novemba 22 anamwakilisha Rais Dk Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa kongamano la tano ya…

Soma Zaidi »

BoT yafungia ‘taasisi’ 69 mikopo kidijiti

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imezifungia programu tumizi 69 zilizokuwa zikitumika kutoa mikopo kidijiti. Gavana wa BoT, Emmanuel Tutuba ameeleza…

Soma Zaidi »

Wadau wakutana kujadili mifumo ya kodi

SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha imefanya kongamano la kodi kikanda kwa kuwakutanisha wadau kutoka sekta binafsi wakijumuisha wataalam na washauri…

Soma Zaidi »

Utalii wa mikutano, matukio kupaisha uchumi

TANZANIA inatarajia kunufaika kiuchumi utakaotokana na kukuza utalii wa mikutano na matukio (MICE Tourism) na kutangaza utalii kimataifa wakati itakapokuwa…

Soma Zaidi »

Serikali yafafanua hali ya uchumi nchini

SERIKALI imesema shughuli za uchumi nchini zimeendelea kuimarika licha ya changamoto zinazoikabili kutokana na utekelezaji wa Sera za ya Fedha…

Soma Zaidi »

Tanzania, Urusi kuimarisha uchumi

DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Urusi wamesaini vipengele muhimu vya makubaliano ya mfumo unaolenga…

Soma Zaidi »

Mradi wa Sh bilioni 60 kuboresha sekta ya usafishaji Ziwa Victoria

MWANZA/BUKOBA: Serikali ya Tanzania imewekeza Sh bilioni 60 kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria. Meneja wa Bandari za Ziwa…

Soma Zaidi »

Bandari yajipanga kusafirisha shehena ya korosho

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imesema Bandari ya Mtwara imejipanga kusafirisha korosho ghafi ambazo zinatarajiwa kusafirishwa kwenda nje ya…

Soma Zaidi »

Uwekezaji wa Sh bil 429.1 waleta mabadiliko Bandari ya Tanga

TANGA: Utendaji wa Bandari ya Tanga umeimarika kwa kiasi kikubwa katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na uwekezaji wa Serikali…

Soma Zaidi »
Back to top button