Featured

Featured posts

Mgao wa maji Dar, Pwani sasa basi

PWANI: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameziagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha inaondoa…

Soma Zaidi »

Mwigulu aagiza watumishi Temesa wafutwe kazi

DAR ES SAALM; WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba, ameagiza watumishi wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) waliohusika na ubadhirifu…

Soma Zaidi »

Taifa Stars yaanza vibaya Afcon 2025

TANZANIA ‘Taifa Stars’ imeanza vibaya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), baada ya kufungwa mabao 2-1 na…

Soma Zaidi »

Mapumziko Nigeria 1 Taifa Stars 0

MOROCCO; Ni mapumziko michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), Nigeria (Super Eagles) 1 Tanzania (Taifa Stars) 0.…

Soma Zaidi »

‘Simamieni ushindani wa haki, msiumize walaji’

DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, amelitaka Baraza la Ushindani (FCT) kuendelea kulinda na kusimamia…

Soma Zaidi »

Tanzania, India zasaini makubaliano kuendeleza tiba asili

INDIA; Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano kuhusu ushirikiano kwenye Sekta ya Afya katika kuendeleza tiba asilia…

Soma Zaidi »

TSN yachomoza Mkutano Wataalamu Ununuzi na Ugavi

ARUSHA; MKURUGENZI Idara ya Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Soter Salema amesema kampuni hiyo inajivunia…

Soma Zaidi »

Serikali yaagiza wananchi kuweka akiba ya chakula

DODOMA; WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali…

Soma Zaidi »

UN yaisifu Tanzania kuwa mfano wa amani

UMOJA wa Mataifa (UN) umesema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano ndani ya Afrika na duniani kwa ujumla.…

Soma Zaidi »

Tume ya Uchunguzi yaanza kusikiliza wananchi

TUME ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025…

Soma Zaidi »
Back to top button