Kimataifa

Trump, Putin kukutana wiki ijayo

GENEVA : NAIBU Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa, Dmitry Polyanskiy, amesema Rais wa Urusi, Vladimir Putin, huenda akakutana…

Soma Zaidi »

Marekani yajenga kituo cha wahamiaji Texas

WASHINGTON : SERIKALI ya Marekani imejenga kituo chake cha kwanza kikubwa cha kuhudumia wahamiaji katika kambi ya jeshi la Fort…

Soma Zaidi »

Sudan yalia na mlipuko wa kipindupindu

GENEVA: SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa takribani watu 100,000 nchini Sudan wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu tangu mwezi Julai…

Soma Zaidi »

Uingereza yapiga marufuku ‘daktari wa mitaani’

LONDON, UINGEREZA : SERIKALI ya Uingereza imetangaza mikakati mipya ya kudhibiti upasuaji wa kuboresha mwonekano wa mwili, ikiwemo kuongeza makalio,…

Soma Zaidi »

Ruto: Masoko ya China ni muhimu

NAIROBI, KENYA: RAIS wa Kenya, Dk. William Ruto, amesema kuwa uamuzi wa Kenya katika sera za mambo ya nje unaongozwa…

Soma Zaidi »

Sudan yaangusha ndege ya Emarati

KHARTOUM,SUDAN : JESHI la anga la Sudan limeharibu ndege ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iliyokuwa ikibeba wapiganaji mamluki…

Soma Zaidi »

Mawaziri wawili wauawa ajali ya helikopta

ACCRA , GHANA : WAZIRI wa Ulinzi wa Ghana, Edward Mane Boamah, na Waziri wa Mazingira, Sayansi na Teknolojia, Ibrahim…

Soma Zaidi »

Mshikamano waimarisha mtangamano SADC

MADAGASCA: Umoja na mshikamano imeelezwa kuwa ni silaha pekee ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC),…

Soma Zaidi »

Hiroshima yaadhimisha miaka 80

JAPAN : MJI wa kihistoria wa Hiroshima nchini Japan umeadhimisha kumbukumbu ya miaka 80 tangu Marekani ilipoushambulia kwa bomu la…

Soma Zaidi »

Rwanda yapokea wahamiaji 250

KIGALI : SERIKALI ya Rwanda imeripotiwa kusaini makubaliano na Marekani ya kuwapokea wahamiaji 250 waliotimuliwa nchini humo, katika kile kinachotajwa…

Soma Zaidi »
Back to top button