Bunge

Maeneo yanayofaa mradi umeme wa upepo, jua yatajwa

DODOMA; SERIKALI imesema kupitia Sera ya Taifa ya Nishati ya mwaka 2015, imeweka mkazo wa kuendeleza vyanzo vya nishati jadidifu…

Soma Zaidi »

Utaratibu biashara pembezoni mwa barabara waelezwa

DODOMA; SERIKALI imesema imeweka utaratibu kwa ajili ya wafanyabiashara wenye nia ya kutumia maeneo yaliyopo pembezoni mwa barabara. Naibu Waziri…

Soma Zaidi »

Vikundi 24,064 vyanufaika mafunzo usimamizi mikopo

DODOMA; SERIKALI imesema kipindi cha kuanzia Julai, 2024 hadi Januari 2026, jumla ya vikundi 24,064 vimepatiwa mafunzo ya usimamizi wa…

Soma Zaidi »

‘Nyumba 2,500 zimelipwa fidia Mradi Mto Msimbazi’

DODOMA; SERIKALI imesema Mradi wa Bonde la Mto Msimbazi, unatarajia kuhamisha nyumba zaidi ya 3,000, ambapo hadi sasa nyumba 2,500…

Soma Zaidi »

Serikali yazungumzia utekelezaji kiwanda cha saruji Kasulu

DODOMA; SERIKALI imesema kasi ya utekelezaji wa mradi wa kiwanda cha saruji cha Kasulu imekuwa ndogo, hivyo inataka utekelezaji wake…

Soma Zaidi »

Serikali kujenga Akademi za Michezo kikanda

DODOMA; SERIKALI imesema inaendelea na ujenzi wa Akademia ya Michezo yenye hadhi ya kimataifa Malya, wilayani Kwimba Mkoa wa Mwanza…

Soma Zaidi »

Ujenzi wa Daraja Mto Pangani wafikia asilimia 80

DODOMA; Serikali imesema inatekeleza ujenzi wa Barabara ya Tanga – Pangani – Saadani hadi Makurunge (km 256) kwa kiwango cha…

Soma Zaidi »

Bandari ya Dar kuongezwa, yatarajia kupokea meli nyingi

DODOMA: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeanza mazungumzo na Benki ya Dunia kwa…

Soma Zaidi »

Kihenzile: Reli ya Kusini maandalizi yanaendelea

DODOMA: Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC), imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Vituo vya afya 898 vyatoa huduma upasuaji wa dharura

DODOMA: SERIKALI imesema hadi Desemba 2025 ilikuwa imekamilisha ujenzi na ukarabati wa vituo vya afya 898, ambavyo vinatoa huduma ngazi…

Soma Zaidi »
Back to top button