Chaguzi

Bulala aanza kampeni kwa kishindo

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kwimba mkoani Mwanza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Cosmas Bulala, ameahidi kushughulikia changamoto…

Soma Zaidi »

DP kufuta kikokotoo cha wastaafu

CHAMA Cha Democratic Party (DP) kimesema serikali yake itaboresha mafao ya wastaafu. Mgombea urais kupitia chama hicho, Abdul Juma Mluya…

Soma Zaidi »

ACT Wazalendo kuruhusu karafuu iuzwe popote

MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema serikali yake itaruhusu wakulima wa…

Soma Zaidi »

Samia aacha ahadi 8 kisiwani Unguja

MGOMBEA urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuomba kura kwa wananchi kisiwani Pemba.…

Soma Zaidi »

Ngajilo ahaidi ofisi yenye wasaidizi wasikivu Iringa Mjini

IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, ameahidi kuboresha ofisi ya mbunge…

Soma Zaidi »

Mwalunenge: Nipeni ubunge nibadilishe Mbeya

MBEYA : MGOMBEA wa nafasi ya Ubunge jimbo la Mbeya Mjini,Patrick Mwalunenge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) amewataka wakazi…

Soma Zaidi »

Mndeme kuwa sauti ya wavuvi Kigamboni

DAR ES SALAAM: MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigamboni, Mwanaisha Mndeme ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo, atakuwa sauti ya wavuvi kwa…

Soma Zaidi »

Ushiriki wa wanawake siasa waimarika

MJUMBE Maalum wa Umoja wa Afrika wa Wanawake, Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula, amesema mwamko wa wanawake kushiriki kwenye…

Soma Zaidi »

Wagombea zingatieni ilani, toeni ahadi zinazotekelezeka

OKTOBA 29, mwaka huu Watanzania watatekeleza jambo kubwa la kidemokrasia na kihistoria la kuwachagua viongozi wa kuwaongoza kwa miaka mitano…

Soma Zaidi »

Dk. Mwinyi asema ahadi za serikali zinatekelezwa

ZANZIBAR : MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amewatoa wasiwasi Watanzania juu…

Soma Zaidi »
Back to top button