Siasa

CCM: Vijana msitumike

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka vijana kutokubali kutumika kwa maslahi ya watu wengine wasiokuwa na nia njema…

Soma Zaidi »

Buchosa yapata Mwenyekiti halmashauri

MWANZA; HALMASHAURI ya Wilaya ya Buchosa mkoani Mwanza imepata uongozi mpya baada ya madiwani  kumchagua Isack Mashimba wa Chama Cha…

Soma Zaidi »

Spika wa Bunge akutana na mabalozi wa EU

Spika wa Bunge, Mussa Zungu, amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya…

Soma Zaidi »

Madiwani wamchagua mwenyekiti halmashauri ya Longido

ARUSHA: MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha wamemchagua kwa kura zote 26 diwani wa Kata ya Longido…

Soma Zaidi »

Sima achomoza umeya Mwanza

MWANZA; DIWANI wa Kata ya Mhandu, Sima Constantine ndiye Meya mpya wa Jiji la Mwanza. Hatua hiyo inatokana leo kushinda…

Soma Zaidi »

Kituo cha Biashara Russia-India Kimeanzishwa

SERIKALI ya India imesema itaendelea kushirikiana na Urusi kuimarisha uhusiano wao wa kibiashara kwa kuanzisha Kituo cha Biashara cha Russia-India…

Soma Zaidi »

Ethiopia Yaingia BRICS

ETHIOPIA imefanikiwa kuwa mwanachama wa jumuia ya BRICS, hatua itakayoiweka nchi hiyo kwenye jukwaa la kimataifa na kuipa nafasi ya…

Soma Zaidi »

Tanzania, Korea kushirikiana kiuchumi

DAR ES SALAAM: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia…

Soma Zaidi »

Tanzania, Qatar zakubaliana vyeti vya mabaharia

LONDON; Serikali ya Tanzania na Serikali ya Qatar zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kutambuliana vyeti vya mabaharia katika hafla…

Soma Zaidi »

Dk. Mwigulu akagua uharibifu wa vurugu

WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 24, 2025, amekagua miundombinu na mali zilizoharibiwa kufuatia vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025…

Soma Zaidi »
Back to top button