Siasa

Wanaopiga kura Zanzibar leo watajwa

ZANZIBAR; BAADHI ya wananchi wa Zanzibar leo wanapiga kura ikiwa ni sehemu ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Katika uchaguzi…

Soma Zaidi »

Kila la heri uhitimishaji kampeni, amani iendelee

LEO vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu nchini vinahitimisha rasmi kampeni zake, hatua muhimu inayoashiria ukomavu wa demokrasia ya…

Soma Zaidi »

Wanaopiga kura Zanzibar leo watajwa

BAADHI ya wananchi wa Zanzibar leo wanapiga kura ikiwa ni sehemu ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Katika uchaguzi mkuu…

Soma Zaidi »

Pazia kampeni Uchaguzi Mkuu lafungwa leo

VYAMA vya siasa vinahitimisha leo siku 60 za kampeni za Uchaguzi Mkuu ambazo zimetajwa kuandika historia kwa kuwa zenye amani…

Soma Zaidi »

ZEC yakamilisha maandalizi ya kura ya mapema

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imethibitisha kukamilika kwa maandalizi ya kura ya mapema inayoanza leo Oktoba 28, 2025, ambapo baadhi…

Soma Zaidi »

Mwinyi Azindua Miradi ya Maendeleo Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imebuni…

Soma Zaidi »

Dk Biteko ahitimisha kampeni Bukombe

GEITA; NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama Cha…

Soma Zaidi »

Wapiga kura 175, 068 kupiga kura Ngorongoro

ARUSHA: MSIMAMIZI wa uchaguzi katika Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Emmanuel Mchome amesema katika jimbo hilo waliojiandikisha kupiga kura ni…

Soma Zaidi »

Mgombea ubunge CCM aahidi karakana la ujuzi mjini Geita

GEITA: MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Geita Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Chacha Wambura ameahidi iwapo atachaguliwa atafanikisha…

Soma Zaidi »

Amani yatawala Mtwara uchaguzi mkuu

MTWARA: MKUU wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amewakikishia hali ya amani na usalama wananchi mkoani humo wakati wa…

Soma Zaidi »
Back to top button