Furaha katika kisiwa cha Uzi-Zanzibar!

WANANCHI wa vijiji vya Kisiwa cha Uzi, Mkoa wa Kusini Unguja wamefurahishwa na hatua ya Serikali ya Awamu ya Nane kujenga daraja na barabara ya kisasa litakalowaunganisha moja kwa moja na Unguja.
Wanasema mradi huu ni mkombozi baada ya miaka mingi ya changamoto za usafiri hasa maji yanapokuwa yamejaa.Daraja la kilomita 2.2 lenye thamani ya zaidi ya dola milioni 14 linatarajiwa kukamilika miezi miwili ijayo, na litafungua milango ya biashara, utalii, huduma za afya na elimu. Pengine litakuwa ni Daraja la pili kwa urefu baada ya Daraja la J.P. Magufuli (kigongo – busisi) lenye urefu wa kilometa 3.2, Tanzania bara
Wananchi wamesema: “Ni ndoto inayoanza kuwa kweli, tunamshukuru Rais Dk. Mwinyi kwa kutimiza ahadi zake. Mwananchi mmoja amesema kwa utani “Nitatembea kwa Kichwa kuonesha furaha yangu.” SOMA: Uwanja wa kisasa wakamilika Zanzibar
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern……………………………. http://Www.Cash43.Com
I just worked part-time from my apartment for 5 weeks, but I made $30,030. I lost my former business and was soon worn out. Thank goodness, I found this employment online and I was able to Haa start working from home right away. This top career is achievable by everyone, and it will improve their online revenue by:.
.
EXTRA DETAILS HERE:>>> https://work99.site
I just got paid $22k working off my laptop this month!** And if you think that’s cool, my divorced friend has twin toddlers and made over $22620 her first month.details on this website**Want the secret?** Copy this Website and choose HOME TECH OR MEDIA……..
Here is I started_______ https://Www.Jobathome1.Com