Hii ndio pawa ya CCM Namtumbo

SONGEA, Ruvuma: TOFAUTI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vingine vinavyowania ridhaa ya wananchi ni namna chama hicho kilivyoweka misingi imara na ya uhalika kuinadi Ilani yake ya 2025-30 huku ikifahamu fika ni namna gani inaenda kupata fedha na kuyatekeleza tofauti na vyama vingine vina maneno matupu.

Hiyo ni sehemu ya kauli ya mgombea urais kupitia CCM, Rais Dk Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wananchi wa Songea Mjin kuomba kura kwa maelfu ya wananchi waliofurika Uwanja wa VETA kumsikiliza Mwenyekiti huyo wa CCM. SOMA: Nchimbi sasa kuwasha moto Njombe

Leo ni siku ya pili ya kampeni za Rais Samia mkoani Ruvuma, ambapo ananguruma Songea Mjini, Namtumbo na Tunduru.  Jana, Rais Samia, alimwaga sera zake wilayani Mbinga na Nyasa.

Habari Zifananazo

One Comment

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… Y You can earn from 6000-12000 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good eaning opportunity.tab for more detail thank you……..

    For details check ——-⫸ http://www.join.money63.com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button