Kumekucha Tamasha la Pasaka 2026

DAR ES SALAAM; Wasanii nguli wa nyimbo za Injili kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuungana na waimbaji wa nyimbo hizo hapa nchini kutumbuiza katika Tamasha la Pasaka mwaka huu.

Tamasha hilo huandaliwa na kuratibiwa na Kampuni ya Msama Promotions, ambapo kwa msimu huu litafanyika mikoa 20 likianzia Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama amesema tamasha litaanza Aprili 5, 2026 likizunguka mikoa 20 kukiwa na wasanii mbalimbali wa Tanzania na nje ya Tanzania.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button