Labour yashinda uchaguzi, Støre abaki madarakani

OSLO, NORWAY : WAZIRI Mkuu wa Norway, Jonas Gahr Støre ametangaza ushindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika jana Jumatatu. Støre, ambaye anaongoza Chama cha Labour, amesema ushindi huo umetokana na chama chake kuibuka cha kwanza kwa kupata takribani asilimia 28 ya kura, huku akisaidiwa na vyama vingine vinne vya mrengo wa kushoto vilivyomuunga mkono.
Kwa mujibu wa matokeo hayo, Støre ataendelea kuiongoza Norway kwa muhula mwingine wa miaka minne. Hata hivyo, uchaguzi huo pia ulishuhudia ongezeko kubwa la uungwaji mkono wa chama cha kizalendo cha Progress, kinachopinga uhamiaji. Chama hicho kimekuwa cha pili kwa ukubwa bungeni, jambo linaloibua wasiwasi mpya wa kisiasa nchini humo.SOMA: Zanzibar, Norway kuimarisha ushirikiano
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com