Mama Maria Nyerere ahimiza Watanzania wadumishe mshikamano
MJANE wa Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ametoa wito kwa Watanzania kudumisha mshikamano na kutumia mazungumzo kama njia pekee ya kuvuka changamoto zinazolikabili taifa kwa sasa.
Akizungumza nyumbani kwake Msasani, Dar es Salaam, Mama Maria amewataka Watanzania kutokata tamaa, bali kutambua hatua ambazo nchi imepitia tangu enzi za Nyerere.
Mama Maria alisema nchi imepitia katika makundi matatu, akisisitiza kila kizazi kina deni kwa taifa lake.
“Kundi la Kwanza lilipigania na kuleta Uhuru wa bendera, likiongozwa na waasisi wa taifa hili. Kundi la pili lilijenga misingi ya nchi, kuweka mifumo ya utawala na huduma za kijamii na kundi la tatu ni kizazi cha sasa, ambacho kina jukumu la kuendeleza na kuona mwanga mkubwa zaidi wa maendeleo.” alisema.
Aliongeza: “Msikate tamaa. Tunachohitaji ni kukubaliana wote, tukae chini na kuzungumza ili kuelewana namna ya kuifikisha nchi mbele.”
Kauli ya Mama Maria imekuja wakati ambapo taifa limekuwa likishuhudia vuta nikuvute katika nyanja za kijamii na kiroho lakini akasisitiza kuwa ujenzi wa taifa si kazi ya mtu mmoja au kiongozi pekee, bali ni matokeo ya maelewano ya pamoja.
Amewasihi vijana kutokata tamaa kutokana na changamoto za sasa, bali watumie mawazo yao kuleta mabadiliko chanya bila kusubiri kulaumu wengine.
Kauli hiyo ameitoa wakati akipokea nishani ya heshima iliyotolewa na serikali ya Angola kwa Nyerere, kama ishara ya kuthamini mchango wake katika ukombozi.
Nishani hiyo ilikabidhiwa kwake na Balozi wa Angola nchini, Domingos Da Silva na kushuhudiwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mahmoud Thabit Kombo.




I’m not that much of a online reader to be honest but your sites
really nice, keep it up! I’ll go ahead and bookmark your site to come back down the road.
All the best
l Get paid over $110 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my buddy makes over $21269 a month doing this and she convinced me to try. The possibility with this is endless….
This is what I do………………………………….. https://Www.Cash54.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
Hi! I could have sworn I’ve been to this website before but after browsing through
many of the articles I realized it’s new to me. Anyhow, I’m definitely pleased
I discovered it and I’ll be bookmarking it and checking back
regularly!
Great website you have here but I was curious about if you
knew of any message boards that cover the same topics discussed here?
I’d really love to be a part of community where I can get suggestions from other knowledgeable individuals that share the same interest.
If you have any recommendations, please let me know.
Thank you!
May I simply just say what a relief to discover somebody who really knows what they are discussing
on the web. You certainly understand how to
bring an issue to light and make it important.
More and more people ought to read this and understand
this side of your story. I can’t believe you aren’t more popular since you certainly possess the gift.
Here is my web page; İstanbul Escorts
Hi there to all, for the reason that I am in fact keen of reading
this web site’s post to be updated on a regular basis. It carries good data.
What’s up, just wanted to tell you, I enjoyed this blog post.
It was inspiring. Keep on posting!