Samia, Nchimbi walivyorejesha fomu INEC

UREJESHAJI wa fomu na uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais umefanyika leo katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zilizopo eneo la Njedengwa, Dodoma.

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza Dk Emmanuel Nchimbi walikuwa wa mwanzo kurejesha fomu hizo na kisha kuteuliwa rasmi na INEC kuwa wagombea kupitia CCM.

Mchakato huo unafanyika kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 50 na 62 vya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, vikisomwa pamoja na kanuni ya 23 na 26 za Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… Y You can earn from 6000-12000 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good eaning opportunity.tab for more detail thank you……..

    For details check ——-⫸ http://www.join.money63.com

  2. I make $88 an hour to work part time on a laptop. I never thought it was possible but my closest friend easily made $18,000 in 3 weeks with this top offer and she delighted me to join. .Visit the following article for new information on how to access…….
    .
    HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button