Mgombea Ubunge Fuoni Afariki Dunia

UNGUJA: MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Fuoni, Zanzibar, Abbas Ali Hassan Mwinyi, amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mjini Magharibi, Lumumba.

Marehemu Abbas, ambaye alikuwa Mbunge wa Fuoni (2015–2020), alikuwa anagombea tena kutetea kiti chake kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). SOMA : Wagombea Ubunge 49 wapitishwa na INEC Temeke

Mbali na siasa, Abbas Mwinyi alikuwa msomi, rubani wa ndege na nahodha wa meli, hivyo kuacha kumbukumbu pana ndani na nje ya ulingo wa siasa.

Habari Zifananazo

One Comment

  1. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button