Muswada wa vitambulisho vya NIDA kwa watoto kutua bungeni

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ipo katika hatua za mwisho za kuandaa na kupeleka muswada wa sheria bungeni mwaka huu itakayowawezesha kuanza kuwasajili watoto kuanzia umri wa mwaka 0 hadi 17.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Hadija Kombo alikiambia Kituo cha Televisheni cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuwa muswada huo utakapopitishwa wataanza majaribio ya kuwasajili watoto katika wilaya tatu za Kilolo mkoani Iringa, Songwe mkoani Songwe na Kusini Unguja, Zanzibar.
Aliongeza kuwa kwa sasa sheria inayotumika ni ya mwaka 1986 iliyofanyiwa mapitio mwaka 2012 na kanuni zake zikarejewa mwaka 2014.
“Kwa sasa hivi sheria inayotumika katika usajili ni ile Sheria Namba 11 ya Mwaka 1986 ambayo ilifanyiwa mapitio mwaka 2012 na kanuni zake zikarejewa mwaka 2014. Kwa sasa tupo kwenye mchakato wa kubadilisha hiyo sheria kutoka kuruhusu usajili wa kuanzia miaka 18 na kuendelea ije iruhusu usajili wa watoto kuanzia mwaka 0 hadi 17,” aliongeza Hadija.
Aidha, alisema kwa ngazi ya NIDA imeshakamilisha taratibu zote za muswada huo na kuuwasilisha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ambayo nayo imeshakamilisha sehemu yake na kuiwasilisha kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa hatua za mwisho na kuiwasilisha bungeni ili ipitishwe.
Alifafanua kuwa vitambulisho hivyo vitakuwa na umuhimu kwa watoto kwa sababu vitawasaidia kupata haki zao za msingi. Kwa sasa sheria ya vitambulisho vya taifa inasema Mtanzania anayestahili kusajiliwa na kupata kitambulisho cha taifa ni yule mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea.




l Get paid over $110 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my buddy makes over $21269 a month doing this and she convinced me to try. The possibility with this is endless….
This is what I do………………………………….. https://Www.Cash54.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
Toa ushahidi au maoni kwa Tume kuhusu matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi mkuu kwa SMS/WhatsApp:0743040890 au kupitia https://tume.uchunguzi.go.tz.
Wow, marvelous weblog format! How long have you ever been blogging for?
you make running a blog glance easy. The overall look
of your site is great, as well as the content material!
I was recommended this blog by my cousin. I am not sure whether this post is written by him as nobody else
know such detailed about my problem. You’re wonderful!
Thanks! http://WWW.Dunklesauge.de/topsite/index.php?a=stats&u=simadunbabin313
This is a topic which is close to my heart… Best wishes!
Exactly where are your contact details though?
I have learn some good stuff here. Definitely worth bookmarking
for revisiting. I wonder how much attempt you put to make this sort
of fantastic informative web site.
Hi, its good piece of writing on the topic of media
print, we all understand media is a impressive source of information. https://Varsik.sk/question/3-26/
I think the admin of this site is actually working hard in support of his web site,
since here every material is quality based
stuff. http://xn--Tstz66j3id.xn--cksr0a.life/home.php?mod=space&uid=98438&do=profile&from=space