Naibu Spika ahitimisha mafunzo kwa wabunge

NAIBU Spika wa Bunge, Daniel Sillo amehitimisha mafunzo kwa wabunge leo Novemba 21, 2025 jijini Dodoma.

SOMA: Spika Zungu afungua mafunzo kwa wabunge

Mafunzo hayo ya siku tano yalilenga kuwajengea uwezo wabunge kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa shughuli za Bunge, umuhimu wa Kamati za Bunge katika kufanikisha shughuli za Bunge na Maadili ya Viongozi.

Masuala mengine ni kuhusu haki na wajibu wa wabunge, Diplomasia na Itifaki za kibunge pamoja na mahusiano ya kazi baina ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Bunge.

Habari Zifananazo

3 Comments

  1. Nowadays earning money online is very easy . Eanrs every month online more than $17k by doing very easy home based job in part time u can also do this simple online Job by visiting websiteMore Details For Us→→  http://www.job40.media

  2. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  3. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button