Omollo atoa wito wa amani Kenya

KENYA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Usalama wa Ndani ya Kenya, Raymond Omollo amewataka wananchi wa Kisumu na Wakenya kwa ujumla kudumisha amani katika kipindi hiki cha msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Raila Odinga.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuagwa kwa mwili wa Odinga katika Uwanja wa Jomo Kenyatta Mjini Kisumu. Omollo amesema amani na utulivu ulioonyeshwa na Wakenya unapaswa kudumishwa hata baada ya tukio hilo.
Aidha, amesema serikali yake itatahakikisha wananchi wengi wanapata fursa ya kuuga mwili wa Odinga.
Zoezi la kuagwa kwa mwili wa mwanasiasa huyo mkongwe nchini linahudhuriwa na maelfu y watu kutoka ndani na nje ya Kenya.
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com