Polisi Tabora waahidi uchaguzi wa amani

JESHI la Polisi mkoani Tabora limefanya mazoezi ya hiari katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Tabora, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuimarisha ulinzi na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Akizungumza wakati wa mazoezi hayo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, SACP Richard Abwao, amesema mazoezi hayo ni maandalizi muhimu kwa jeshi hilo kuhakikisha wananchi wanatekeleza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura wakiwa katika mazingira ya amani na utulivu.

Amesema Jeshi la Polisi limejipanga kuhakikisha hali ya usalama inaendelea kuwa shwari kabla, wakati na baada ya uchaguzi, huku akiwataka wananchi, hususan vijana, kuepuka vitendo vya uchochezi na upotoshaji kupitia mitandao ya kijamii.
Aidha, amewahimiza wakazi wa Tabora kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kurejea nyumbani kwa utulivu baada ya kumaliza zoezi hilo. SOMA: CP Kombo:Uchaguzi utakuwa wa amani




JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com