Rais Samia alivyokagua gwaride maalumu bungeni

DODOMA; DODOMA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alivyowasili katika Viwanja vya Bunge na kukagua gwaride maalum kabla ya kuingia katika ukumbi wa Bunge kwa ajili ya kuhutubia na kufunga Bunge la 12 leo Juni 27, 2025. (Picha na Ofisi ya Bunge).