Serikali yakamilisha miradi 81 ya bil 500/- miundombinu ya barabara

ARUSHA: SERIKALI imetekeleza jumla ya miradi 81 ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya barabara yenye thamani ya Sh bilioni 500.
Taarifa hiyo iimetolewa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega katika maadhimisho ya siku 100 za mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya ujenzi.

Miradi hiyo imehusisha ukarabati wa barabara za lami, ujenzi wa madaraja pamoja na uwekaji wa taa za barabarani katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza katika eneo la King’ori, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Ulega amesema wizara hiyo imepokea jumla ya Sh bilioni 511 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo, ambapo Sh bilioni 280 zimetolewa na hazina na Sh bilioni 222 zimetokana na wahisani.
Amesema kati ya fedha zilizotolewa na hazina Sh bilioni 125 zimeelekezwa katika Mfuko wa Barabara kwa ajili ya kuwalipa wakandarasi wadogo wanaotekeleza miradi katika maeneo mbalimbali nchini.

“Katika miradi hiyo 81, miradi 40 imekamilika kwa asilimia 100, ikiwemo mradi wa King’ori wa ujenzi wa daraja pamoja na uwekaji wa taa 136 za barabarani, jambo ambalo limeondoa hatari kwa wananchi wakati wa mvua na kuleta tabasamu kwa wakazi wa eneo hilo,”
Aliongeza kuwa uwekaji wa taa za barabarani umechochea shughuli za kiuchumi nyakati za usiku, hususan kwa wafanyabiashara, na hivyo kuchangia kukuza uchumi wa wananchi mmoja mmoja.
Kuhusu uwajibikaji, Waziri Ulega amesema akiwa safarini kutoka Dodoma kukagua miradi ya miundombinu ya barabara, alikuta foleni kubwa ya malori katika eneo la mizani ya Mikese mkoani Morogoro, ambapo baada ya uchunguzi alibaini foleni hiyo ilisababishwa na uzembe wa watendaji.




MADINI YA DHAHABU YAPATIKANA KWENYE MAWE YA MTO KAGERA YALIFICHWA WAKATI WA GENOCIDE YA RWANDA- JIONEE WATU WANAVYOKUWA MATAJIRI
https://www.youtube.com/watch?v=lXJ1J0OsXNM
I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
Follow Here ……………………… https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
MADINI YA DHAHABU YAPATIKANA KWENYE MAWE YA MTO KAGERA YALIFICHWA WAKATI WA GENOCIDE YA RWANDA- JIONEE WATU WANAVYOKUWA MATAJIRI
https://www.youtube.com/watch?v=lXJ1J0OsXNM
MADINI YA DHAHABU YAPATIKANA KWENYE MAWE YA MTO KAGERA YALIFICHWA WAKATI WA GENOCIDE YA RWANDA- JIONEE WATU WANAVYOKUWA MATAJIRI
https://www.youtube.com/watch?v=lXJ1J0OsXNM
MADINI YA DHAHABU YAPATIKANA KWENYE MAWE YA MTO KAGERA YALIFICHWA WAKATI WA GENOCIDE YA RWANDA- JIONEE WATU WANAVYOKUWA MATAJIRI
https://www.youtube.com/watch?v=lXJ1J0OsXNM
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do….. www.join.work27.com