Shambulio la Israel latikisa Doha

USIKU wa Septemba 9, 2025, anga la Doha lilitetemeshwa na milipuko mikali iliyoambatana na moshi mzito, hali iliyobadilisha ghafla upepo wa kisiasa na kuibua hofu kubwa miongoni mwa wananchi wa jiji hilo.Shambulio hilo, ambalo Israel imedai lililenga viongozi wa Hamas waliokuwa kwenye mazungumzo ya usitishaji mapigano, limezusha tafrani kubwa ndani na nje ya Mashariki ya Kati. Israel imesisitiza kuwa operesheni hiyo ilipangwa kwa makini, ingawa haijaweka wazi namna lilivyotekelezwa. Hata hivyo, wakazi wa Doha wamesalia na hofu kuhusu mustakabali wa usalama wao katika mji uliotambulika kwa amani na ustawi.
Qatar yapinga vikali
Serikali ya Qatar imepinga shambulio hilo kwa maneno makali, ikiungwa mkono na Iran na Umoja wa Mataifa, zikilitaja kama uvunjifu wa sheria za kimataifa na tishio kwa maisha ya raia wasio na hatia. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar, Dk. Majed Al Ansari, alisema shambulio hilo lililenga majengo ya makazi na akatahadharisha kuwa taifa hilo “halitakubali vitendo vinavyohatarisha usalama wake.”
Vifo na uharibifu
Ripoti za vyombo vya habari vya kimataifa zinasema baadhi ya viongozi wa Hamas walionekana kunusurika, lakini mtoto mmoja ameripotiwa kufariki dunia huku mali nyingi zikiharibiwa. Hali hiyo imeacha doa la huzuni na ghadhabu kwa wakazi wa Doha, wakihisi vita vya mbali sasa vinagonga milango yao.
Umoja wa Mataifa na Iran watohoa kauli
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelaani tukio hilo akilitaja kama “ukiukaji wa uhuru wa ardhi ya Qatar” na onyo kwa jitihada za amani ambazo taifa hilo limekuwa likisimamia kwa muda mrefu. Kwa upande wake, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, alisema shambulio hilo ni mfano wa wazi wa kuingilia uhuru wa taifa huru na onyo la hatari inayoweza kulipuka iwapo hatua za kijeshi zisizo na tahadhari zitaendelea. SOMA: Guterres apinga udhibiti wa Gaza
Marekani nayo yazungumza
Nchini Marekani, taarifa zimevuja kuwa Ikulu ilikuwa na fununu za awali kuhusu uwezekano wa shambulio hilo. Hata hivyo, msemaji wa Ikulu, Karoline Leavitt, alisema Rais Donald Trump hakufurahishwa na mashambulizi hayo ya anga, akiongeza shinikizo la kimataifa dhidi ya Israel.
Wataalamu waonya
Wachambuzi wa siasa za Mashariki ya Kati wanasema tukio hilo limeweka wazi changamoto kubwa kwa diplomasia ya kikanda. Wanasema Umoja wa Mataifa, Qatar na mataifa jirani yanapaswa kuongeza jitihada ili kuhakikisha mazungumzo ya amani hayaingiliwi, sambamba na kulinda usalama wa raia. Kwa mtazamo wao, tukio hili linathibitisha kuwa hali ya kisiasa katika Mashariki ya Kati bado ni tete na kwamba hatua yoyote ya kijeshi inaweza kuchochea mzozo mpya katika mgogoro wa muda mrefu kati ya Israel na Palestina.
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………………. http://Www.Cash43.Com