TAKUKURU yatoa mafunzo SIDO Dodoma

Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( (PCCB) Mkoa wa Dodoma wameendesha mafunzo ya kuzuia na kupambana na rushwa na utawala bora kwa wafanyakazi wa SIDO na wajasiriamali wanaomiliki viwanda vidogo katika mtaa wa viwanda mkoani humo.
Maofisa wa PCCB waliotoa mafunzo ni Lilian Lyimo na Aksa Musabi.

Mafunzo hayo yamekuwa na lengo la kuwapa uwezo wa kutambua maafisa wa PCCB katika kupambana na vitendo vya rushwa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali za kuimarisha utawala bora na kuongeza ufanisi katika sekta ya umma na binafsi.
Pia, wakufunzi wamesisitiza kwamba rushwa ni adui wa maendeleo na inachangia katika kuondoa fursa za kiuchumi na kijamii kwa wananchi.




Nowadays earning money online is very easy . Eanrs every month online more than $17k by doing very easy home based job in part time u can also do this simple online Job by visiting website
More Details For Us→→ http://www.job40.media
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com