TPBA yalaani vurugu, uharibifu

DAR ES SALAAM: CHAMA cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kimelaani vurugu na uharibifu wa mali uliotokea Oktoba 29 siku ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.
Chama hicho pia kimetoa pole kwa waliopoteza ndugu au mali, hata hivyo TPBA imeunga mkono agizo la Rais Dk Samia Suluhu Hassan la kufanya uchunguzi wa kina na kuwawajibisha wahusika wote kwa mujibu wa sheria.
Taarifa hiyo inaeleza kuwa Katiba ya 1977 inatambua haki za binadamu kama uhuru wa maoni na maandamano, lakini haki hizo zina mipaka ya kisheria kulinda amani na usalama wa taifa.
“Maandamano ya tarehe 29 Oktoba 2025 hayakuwa halali, kwani yalikiuka zuio la polisi na kusababisha vurugu,”
“TPBA inasisitiza kuwa matumizi ya nguvu na silaha yanapaswa kuwa ya kiwango cha lazima pekee na kwa uwajibikaji wa kisheria. Kuhusu changamoto za intaneti, mamlaka zinaweza kudhibiti mawasiliano kwa muda kwa mujibu wa sheria kulinda usalama wa taifa,”ilieleza sehemu ya taarifa hiyo.




Nowadays earning money online is very easy . Eanrs every month online more than $17k by doing very easy home based job in part time u can also do this simple online Job by visiting websiteMore Details For Us→→ http://www.job40.media
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com