Ulinzi waimarishwa bungeni

DODOMA : Serikali imeongeza hatua za kiusalama na kuimarisha ulinzi katika maeneo muhimu ya Bunge, barabara kuu wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kutimisha Bunge la 1 leo Juni 27, 2025 mjini Dodoma.
DODOMA : Serikali imeongeza hatua za kiusalama na kuimarisha ulinzi katika maeneo muhimu ya Bunge, barabara kuu wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kutimisha Bunge la 1 leo Juni 27, 2025 mjini Dodoma.