Utafiti na uendelezaji madini ya kimkakati waiva

SHIRIKA la Utafiti na Maendeleo ya Viwwanda Tanzania (TIRDO) pamoja Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yameingia makubaliano ya awali (MOU),kuhusu utafiti na uendelezaji wa Madini ya kimkakati (strategic minerals) yenye umuhimu mkubwa kwa usalama wa taifa, maendeleo ya viwanda, teknolojia ya kisasa, na uchumi wa nchi.
Mkurugenzi Mkuu wa TIRDO ,Profesa Mkumbukwa Mtambo amesema hayo wakati wa utiaji saini hati ya makubaliano ya awali kati Shirika lake na Stamico katika halfa iliyofanyika ukumbi wa Chuo cha Ujenzi mkoani Morogoro.
Profesa Mtambo amesema madini hayo ni muhimu kwa sababu hupatikana kwa wingi mdogo duniani, ni vigumu kuyachukua au kuyabadilishiwa, na yanahitajika kwa teknolojia muhimu kama nishati safi, magari ya umeme, vifaa vya elektroniki, silaha, na ujenzi wa miundombinu.
Ametaja baadhi ya aina ya kuu za madini ya kimkakati ni Madini ya nishati safi (Clean energy minerals) ambayo hutumika katika teknolojia za nishati mbadala na magari ya umeme.
Profesa Matambo ameeleza baadhi madini hayo na matumizi yake katika mabano ni Lithium ( betri za magari ya umeme), Cobalt (betri na vifaa vya elektroniki).

Mengine ni Nickel (betri na chuma cha pua),Graphite (katodi za betri),Manganese (uzalishaji wa chuma na betri) na Madini adimu ya dunia (Rare Earth Elements – REEs) ambayo hutumika katika teknolojia za kisasa, mawasiliano, ulinzi na nishati.
Profesa Mtambo ametaja umuhimu wa mradi huo wa utafiti kwa Taifa ni upatikanaji wa takwimu sahihi wa madini ya kimkakati kwa ajili ya mamlaka za juu kufanya maamuzi ya uendelezaji .
“Tulikuwa na kikao cha siku tatu cha wataalam wa pande zote mbili cha kujadili ni kwa namna gani tutaendesha zoezi hili ,kazi kubwa tunatakiwakufanya utafiti wa kina” amesema Profesa Mtambo.
Profesa Mtambo amesema tafiti mbalimbali za awali zimenyika Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) ambazo zimeonesha madini ya kimkakati yapo katika baadhi yavmaeneo hapa nchini.
Amesema ushiriano huo utahusisha kuwepo na timu ya Wataalam wa kufanya utafiti wa kina wa kuangalia madini yapo kwa kiasi gani , eneo gani, yanathamani gani na kwa viwanda vya aina gani .
Amesema baada ya utafiti huo wa kina kubainisha hayo ,tutaweza kuwekeza katika m
aeneo hayo ili iwe chachu kwa ajili ya kuanzisha viwanda vikubwa , vya kati, vidogo na vidogo zaidi ili kusaidia kuleta ajira nchini.
Profesa Mtambo amesema kuwa na andiko la mradi huo utawezesha upatikanaji wa fedha toka taasisi za kifedha kwa ajili ya utekelezaji na kuongeza chachu ya uendelezaji wa rasilimali za madini kwa ajili ya uchumi endelevu wa viwanda nchini .
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO ,CPA Dk Venance Mwasse amesema kwa sasa wanatekeleza ajenda ya viwanda , na kwamba viwanda malighafi yake kuu ni madini.
Amesema ushirikiano na wenzao wa Tirdo ambao wanahusika na ufafiti na kutoa ushauri katika kuendeleza viwanda nchini, pia utekelezaji wa dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ambayo suala la Madini limeongelewa kwa kipaumbele kikubwa zaidi .
“ Dunia ya sasa ipo kwenye mageuzi ya nne na ya tano ya Viwanda , ambayo yanahitaji teknolojia ya malighafi na malighafi inachangiwa na madini ya kimkakati ambayo hapa nchini tunayo “ amesema




GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.
Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.
Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.
Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.
“Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.
“Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.
Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.
Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.
Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.
SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.
Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.
Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.
Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.
“Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.
“Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.
Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.
Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.
Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.
SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe
GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.
Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.
Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.
Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.
“Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.
“Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.
Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.
Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.
Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.
SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe
GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.
Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.
Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.
Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.
“Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.
“Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.
Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.
Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.
Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.
SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe
I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link…
Try it, you won’t regret it!….. https://www.job40.media