Wanafunzi Benhubert watembelea Hifadhi ya Mikumi

MOROGORO; WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Benhubert ya Kivule, Dar es Salaam, wakiwa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Mikumi iliyopo Morogoro leo Agosti 11, 2025, ikiwa ni sehemu ya mafunzo kwa vitendo kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo utalii.

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button