Year: 2025

Chaguzi

Samia: Wakishafanya vurugu wanakimbia, msikubali!

HAI: Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi kutokubali kushawishika…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Ikongosi yatikisa uzinduzi wa kampeni

IRINGA: Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi katika Kata ya Ikongosi umezinduliwa kwa shamrashamra, huku mgombea udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Mwinyi aahidi ajira kwa vijana

PANGAWE, Zanzibar: MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema sera kuu ya…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Dayo aahidi kuongeza mikopo bila riba

TABORA : MGOMBEA wa Urais kupitia Chama cha NLD, Hassan Dayo, amewasili mkoani Tabora kuomba ridhaa ya wananchi wa mkoa…

Soma Zaidi »
Africa

PPRD: Hukumu ya Kabila ni ya kisiasa

DR CONGO : CHAMA cha People’s Party for Reconstruction and Democracy (PPRD) cha Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia…

Soma Zaidi »
Tanzania

Majaji wajengewa uwezo kukabiliana na uhalifu

DAR ES SALAAM: Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Italia ( Sant’Anna School…

Soma Zaidi »
Tanzania

Taasisi yatoa mbinu kilimo ikolojia

TANGA: ASASI isiyo ya kiserikali ya kijamii ENVIROCARE Tanzania,inayojihusisha na kukuza haki za mazingira, haki za binadamu, usawa wa kijinsia…

Soma Zaidi »
Tanzania

DC Arusha Mjini aipongeza taasisi kuitangaza miradi

MKUU wa Wialaya ya Arusha, Joseph Mkude ameipongeza taasisi ya Nasimama na Mama Tanzania (TNMT) kwa kujitoa na kuwa mstari…

Soma Zaidi »
Chaguzi

CCM yaendeleza kampeni Longido

ARUSHA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Longido mkoani Arusha kimeendelea na kampeni zake za kuwanadi wagombea wake wa nafasi…

Soma Zaidi »
Afya

Mkakati wasukwa huduma za afya, upunguzaji gharama

DAR ES SALAAM: TANZANIA imeanza mchakato wa kuboresha huduma za afya shirikishi na ufadhili endelevu ili kuongeza ufanisi, kupunguza gharama…

Soma Zaidi »
Back to top button