Year: 2025

Afya

Zahanati kupunguza vifo vya wajawazito

KIGOMA: KUKAMILIKA kwa Zahanati ya Lemba iliyopo Kijiji cha Kasumo Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma kutapunguza vifo vya wajawazito wakati…

Soma Zaidi »
Uchumi

BoT, Mtwara wajadili uchumi, uwekezaji

GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, pamoja…

Soma Zaidi »
Tanzania

Johari aongoza kikao uchambuzi wa sheria

DAR ES SALAAM: MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Hamza Johari ameongoza kikao cha Timu ya Sheria ya Serikali (The Government Legal…

Soma Zaidi »
Urithi

HIFADHI YA MACHAPISHO KITAIFA: Nguzo ya urithi wa kitamaduni na kiakili

KATIKA enzi ya mabadiliko ya kidijitali na kasi ya upotevu wa maarifa ya jadi, hifadhi ya machapisho kitaifa imeibuka kama…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

RC Singida ataka wawekezaji adai ardhi inatosha

SINGIDA: MKUU wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego, amewataka wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kujitokeza kuwekeza katika sekta…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Mndeme kuwa sauti ya wavuvi Kigamboni

DAR ES SALAAM: MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigamboni, Mwanaisha Mndeme ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo, atakuwa sauti ya wavuvi kwa…

Soma Zaidi »
Africa

Vyama viwili vyajitangazia ushindi urais

MALAWI : VYAMA vya siasa vinavyowaunga mkono wagombea wakuu wa urais nchini Malawi vimejitangazia ushindi kabla ya Tume ya Uchaguzi…

Soma Zaidi »
Gesi

Kampuni ya gesi yazindua jiko la nishati safi

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikiana na Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) wamezindua jiko linatumia mfumo wa nishati safi katika…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Ushiriki wa wanawake siasa waimarika

MJUMBE Maalum wa Umoja wa Afrika wa Wanawake, Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula, amesema mwamko wa wanawake kushiriki kwenye…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanzania kuendeleza mapinduzi ya elimu

VIENNA, AUSTRIA : TANZANIA imeahidi kuendeleza mapinduzi ya kidigitali katika sekta ya elimu kupitia ushirikiano na Kampuni ya eee Austria.

Soma Zaidi »
Back to top button