Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kupooza umeme Mkata

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa kupooza umeme uliopo Mkata mkoani Tanga wenye uwezo wa 2X60MVA 132/33kV, pamoja na ujenzi wa njia za kusambaza umeme msongo wa kilovoti 33 kilomita 45 kutoka kituo cha Mkata kwenda kijiji cha Kwamsisi.

Mradi huo unafadhiliwa na Serikali kwa gharama ya Sh bilioni 44.14 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kupoza umeme na Shs bilioni 5.75 kwa ajili ya ujenzi wa njia ya kusambaza umeme.

Mradi huo ni miongoni mwa miradi ya uimarishaji wa Gridi ya Taifa wenye lengo la kuimarisha upatikanaji wa umeme katika wilaya za Handeni na Kilindi pamoja na kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme katika migodi ya Graphite katika Kijiji cha Kwamsisi.





These best sativa gummies were a pleasant surprise. The flavor was better than expected, which already made them go to bat for b wait in the wings out from a lot of functional-style gummies on the market. The packaging looked decontaminated, and the serving instructions were easy to carry out, which made the commodity pet more perfect overall. They ready logically into a daytime routine and felt useful to hold on hand when something imbecilic and straightforward was needed. Meticulous texture, respectable taste, and an complete outcome that feels lovingly made.