Chege ahoji mfumo wa NEST, ataka maboresho

MBUNGE wa Rorya, Jafari Chege amehoji Serikali kuhusu changamoto za utekelezaji wa mfumo wa manunuzi wa kielektroniki (NEST), licha ya mfumo huo kusaidia uwazi na usawa wa zabuni. Amesema baadhi ya watendaji wanajificha nyuma ya mfumo huo na kushindwa kutekeleza majukumu yao hali inayosababisha ucheleweshaji wa huduma na kukwamisha miradi ya maendeleo.

Kutokana na hali hiyo, ameitaka Serikali kuboresha mfumo huo ili kuongeza ufanisi. Aidha, ameitaka PPRA kutoa elimu kwa halmashauri kuhusu matumizi sahihi ya mfumo huo. Pia amesisitiza umuhimu wa utolewaji wa fedha za miradi kwa wakati na kuboreshwa kwa mifumo ya TEHAMA katika utoaji wa hati miliki za ardhi.SOMA: Matumizi mfumo NeST yaokoa bil 13.3/-

 

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com

  2. I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
    .
    This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button