Miriam Odemba: Serikali iweke nguvu sekta ya mitindo

DAR ES SALAAM: MWANAMITINDO nguli Mtanzania, Miriam Odemba ameiomba Serikali kujizatiti kuunga mkono tasnia ya mitindo kwani inabeba sekta nyingi ikiwemo utalii.
Miriam Odemba ametoa ombi hilo katika tukio maalumu la mitindo ‘Muda Tanzanite Gala’ lililowakutanisha wanamitindo mbalimbali Dar es Salaam jana.

Akizungumza katika tukio hilo, Miriam ambaye alikuwa mgeni rasmi, alisema wanamitindo wengi wanapata nafasi kwenda mataifa ya nje hivyo, wanabeba na kuonesha utamaduni wa nchi.
“Kwa pamoja tunaweza kuisimamisha na kuipeleka mbele tasnia yetu, peke yangu siwezi, lakini kwa umona wetu inawezekana,” alisema Miriam.

Alisema kuwa kwa miaka mingi amejifunza kuwa mitindo si mavazi tu, bali ni utambulisho na pia ni nguvu ya kujieleza.

“Nawahimiza wote kuendelea kusimama imara, kuendelea kuamini vipaji vyenu, endeleeni kupeleka mbele tasnia,” ameongeza Miriam.





I get paid over $130 1 to 3 hours working from home with 2 kids at home. I never thought I’d be able to do it but my best friend earns over $27k a month doing this and she convinced me to try. The potential with this is endless.
Heress——-> http://www.giftpay7.vip
Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get dthis by follow details here…
THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site
thisis a fantastic article, really nice created, i enjoy reading it, i will be back to check out for latest update, keep up the good work and applause. usa.yandaz.com
thisis a fantastic article, really nice created, i enjoy reading it, i will be back to check out for latest update, keep up the good work and applause. gh.yandaz.com