Waziri Mkuu Majaliwa ahesabiwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akihojiwa na kutoa majibu ya dodoso kuu la Sensa ya Watu na Makazi kwa Karani wa Sensa Amina Mwambe wakati alipokuwa akihesabiwa katika Makazi yake ya Kijiji cha Nandagala, Ruangwa Mkoani Lindi Agosti 23, 2022.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button