Samia amfariji aliyepoteza watoto 2

MANYARA; Rais Samia Suluhu Hassan akimfariji muathirika wa mafuriko yaliyotokea Katesh, Salome Elifuraha ambaye amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tumaini iliyopo Katesh, Hanang. Salome amepoteza watoto wawili kwenye maafa hayo, huku mtoto wa 3 akiwa bado hajapatikana hadi sasa.

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button