Picha: Matukio mbalimbali ziara ya Samia Muheza leo

RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan, leo Februari 27, 2025 ameendelea na ziara yake mkoani Tanga kwa kutembelea Wilaya ya Muheza.

Rais Samia Suluhu Hassan akizindua usambazaji wa Nishati safi ya kupikia kwa Mkoa wa Tanga katika viwanja vya CCM Jitegemee.
Shamrashamra za wananchi wa Muheza ambao walihudhuria mkutano wa hadhara wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa CCM Jitegemee Muheza mkoani Tanga.
Shamrashamra za wananchi wa Muheza ambao walihudhuria mkutano wa hadhara wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa CCM Jitegemee Muheza mkoani Tanga.
Rais Dk Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Muheza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa CCM Jitegemee katika muendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button