Polisi Kisarawe wapewa elimu nishati safi

KISARAWE, Pwani: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Pwani, limeendesha mafunzo ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa askari wa Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi Kisarawe kwa lengo la kuhamasisha matumizi ya nishati hiyo na kulinda mazingira.
Mafunzo hayo pia yanalenga kufanikisha mpango wa serikali wa kuhakikisha ifikapo mwaka 2034, Watanzania wasiopungua asilimia 80 wanatumia nishati safi.
Ofisa wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Hadra Mtandi, amesema elimu hiyo itasaidia kuelimisha jamii kuachana na matumizi ya nishati chafu na kuchangia katika utunzaji wa mazingira.
Ofisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Tanesco Mkoa wa Pwani, Esther Msaki, amesema matumizi ya nishati safi yanaboresha afya, ustawi wa jamii na kupunguza gharama za maisha.
Ofisa Huduma kwa Wateja wa Tanesco Wilaya ya Kisarawe, Brighton Mmasi, amesema shirika hilo litaendelea kushirikiana na taasisi mbalimbali ili kuhakikish
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
Medical debt had me stressed, but this online approach has been a blessing. I now earn about $7,700 monthly. Details >>>> https://dailycash21.blogspot.com/