China yafungua daraja kubwa duniani

BEIJING: CHINA imefungua rasmi daraja la Grand Canyon la Huajiang lenye urefu wa mita 625 juu ya bonde katika mkoa wa Guizhou, na kuingia katika rekodi ya daraja kubwa zaidi duniani lililojengwa eneo la milimani.

Kwa mujibu wa mamlaka nchini humo, daraja hilo limepunguza muda wa kusafiri kati ya pande mbili za bonde kutoka saa mbili hadi dakika mbili pekee, baada ya kupimwa uthabiti wake kwa kuendeshwa malori 96 mnamo Agosti mwaka huu. SOMA: China yajipanga kudhibiti uchafu wa mazingira

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button