Wanakijiji wahimizwa ushirikiano na Polisi kuimarisha usalama

Wananchi wa Kijiji cha Minyaa mkoani Singida wamehimizwa kushikamana na kushirikiana kwa karibu na Jeshi la Polisi ili kuimarisha usalama katika maeneo yao.

Mkaguzi wa Polisi wa Kata ya Kinyeto, Insp Elizabeth Nashon ametoa wito huo huku akiwataka wananchi wasiwafiche wahalifu ndani ya familia bali wawafichue kwa ajili ya kulinda amani ya kijiji chao.

Insp Elizabeth amesisitiza kuwa jukumu la kumlinda mtoto dhidi ya ukatili si la mzazi peke yake bali ni la kila mwanajamii.

Ametoa wito kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa jirani yake, hasa watoto, ili kujenga jamii salama yenye mshikamano kwa maendeleo ya taifa zima.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button