Wahamiaji 38 Wakamatwa Mbeya

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu 38, wakiwemo raia mmoja wa Ethiopia, kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Benjamin Kuzaga, amesema watuhumiwa hao walikamatwa Novemba 11, 2025 katika Pori la Ranchi ya Matebete lililopo Kijiji cha Igumbilo Shamba, Kata ya Chimala, Wilaya ya Mbarali, mkoani humo.

Kamanda Kuzaga alibainisha kuwa watuhumiwa walikuwa wakisafiri kwa gari lenye namba za usajili T.953 DJF, aina ya Toyota Noah, mali ya Stanslaus Mazengo (51) mkazi wa Isitu, ambaye pia ndiye alikuwa dereva wa gari hilo. SOMA: Kutangazwa mshindi hadi kuapishwa Rais wa Tanzania

Ameongeza kuwa katika mahojiano, mtuhumiwa Mazengo alieleza kuwa alikuwa akiwapeleka wahamiaji hao kufikishwa na kuhifadhiwa katika nyumba ya Jackline Malya (26), mkazi wa Chimala. “Watuhumiwa walikuwa wakisafirishwa kwa njia ya kificho kwa lengo la kuwavusha hadi nchini Afrika Kusini,” alisema Kamanda Kuzaga.

Aidha, ametoa rai kwa wananchi kuacha tamaa ya fedha na kuacha kushiriki katika biashara haramu ya kuwawezesha raia wa kigeni kuingia au kupita nchini bila kibali.“Wananchi wanapaswa kuwaelekeza wageni kufuata taratibu za kisheria kupitia mamlaka husika ili kuepuka usumbufu na adhabu za kisheria,” alisisitiza Kamanda Kuzaga.

 

Habari Zifananazo

7 Comments

  1. GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.

    Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.

    Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.

    Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.

    Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.

    “Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.

    “Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.

    Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.

    Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.

    Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.

    Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.

    SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe

    1. I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
      .
      HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com

    2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
      .
      M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

  2. GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.

    Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.

    Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.

    Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.

    Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.

    “Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.

    “Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.

    Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.

    Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.

    Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.

    Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.

    SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe

  3. GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.

    Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.

    Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.

    Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.

    Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.

    “Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.

    “Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.

    Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.

    Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.

    Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.

    Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.

    SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe

  4. GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.

    Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.

    Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.

    Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.

    Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.

    “Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.

    “Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.

    Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.

    Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.

    Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.

    Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.

    SambazaFacebook Twitter LinkedIn Pinterest Sambaza kupitia barua pepe

  5. I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link…

    Try it, you won’t regret it!….. https://www.job40.media

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button