Amani yatajwa nguzo ya maendeleo ya taifa

MWANZA: VIJANA nchini wameombwa kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la kupiga kura, huku wakisisitizwa kudumisha amani ambayo imekuwa nguzo ya maendeleo ya taifa.

Haya yamebainishwa na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, katika kongamano la vijana lililofanyika jana.

Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.

Naye, Kashinde Paul kutoka Geita amesema vijana ni muhimu kushiriki uchaguzi kwa lengo la kuchagua viongozi wa taifa letu.

Amewaomba vijana wasijaribu kupoteza amani ya Tanzania na ni jukumu la kila kijana kulinda na kudumisha amani.

Naye Pendo Mlida kutoka mkoa wa Mara, amesema kuwepo kwa Uchaguzi Mkuu ni kiashiria kikubwa kuwa nchi yetu ya Tanzania ina Demokrasia

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..

    .

    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button