Na Mwandishi Wetu

Diplomasia

Tanzania yashiriki mkutano Baraza la Mawaziri Afrika

Tanzania inashiriki Mkutano wa 48 wa Baraza la Mawaziri Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa, Ethiopia Februari 11-12, 2026. Ujumbe wa…

Soma Zaidi »
Utalii

Waziri Mkuu azindua miradi ya bil 114/- ya utalii

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezindua na kukabidhi miundombinu 21 ya utalii yenye thamani ya Sh billioni 114.62. Amesema ujenzi…

Soma Zaidi »
Afya

Tafiti nguzo muhimu kukabili magonjwa ya mlipuko

TAFITI ni nguzo kuu katika kuimarisha maandalizi na uwezo wa kukabiliana na magonjwa ya milipuko nchini pamoja na kutoa ushahidi…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Msigwa: Serikali haijakosa fedha kumalizia uwanja Arusha

SERIKALI imesema haijakosa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Arusha, ikisisitiza kuwa mradi huo unaendelea vizuri na unatarajiwa…

Soma Zaidi »
Kanda

RC Geita aagiza kutengwa fungu maalum la CSR kwa vijana

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigella ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Geita kutenga fungu maalum la uwezeshaji wa vijana…

Soma Zaidi »
Tahariri

Mpango wa ushirikiano taasisi za elimu, viwanda mwarobaini soko la ajira

SERIKALI juzi imezindua Mpango wa ushirikiano baina ya waajiri, vyuo vya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi na…

Soma Zaidi »
Kanda

Polisi yamsaka mwanamke aliyeiba mtoto wa siku moja

MTOTO mchanga mwenye umri wa siku moja ameibiwa katika Kata ya Buzuruga, Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza. Akizungumza na waandishi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watumishi wafundwa mishahara itoshe

WADAU wa uchumi wameshauri watumishi wazingatie mambo matatu ili mishahara yao ikidhi mahitaji na waweke akiba ya baadaye. Wameshauri watumishi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mambo 5 yatajwa tija mikopo ya asilimia 10

WATAALAMU wa uchumi wameshauri mambo matano yazingatiwe ili kuongeza ufanisi wa mikopo ya asilimia 10 inayotengwa na halmashauri. Serikali inatoa…

Soma Zaidi »
Dodoma

Mhandisi Masauni amjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu Pinda

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amemtembelea na kumjulia hali, Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo…

Soma Zaidi »
Back to top button