Mwandishi wetu

Biashara

Tafiti 128 kutumika kusaidia wafanyabiashara

TAFITI 128 zilizolenga mada ya biashara na uchumi himilivu kwa ajili ya maendeleo jumuishi nchini Tanzania na nchi zinazoizunguka zimewasilishwa…

Soma Zaidi »
Madini

Barrick yakabidhi leseni 13 kwa wachimbaji wadogo Tarime

MGODI wa Barrick North Mara umetoa leseni 13 na kufadhili mafunzo kwa wachimbaji wadogo ili waendeshe shughuli za uchimbaji. Mgodi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watahiniwa kidato cha nne waongezeka 7.6%

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limesema idadi ya watahiniwa wa kidato cha nne imeongezeka kwa asilimia 7.67 mwaka huu…

Soma Zaidi »
Biashara

TRA yaahidi kulinda biashara

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itashirikiana na wafanyabiashara kulinda biashara ili ziendelee kukua. Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Dk Mwinyi kuzindua uuzaji nyumba za ZHC

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwnyi wiki hii anatarajiwa kuzindua uuzaji wa nyumba za…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Dk Mwinyi: Sitovumilia ugomvi wizarani

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema hatovumilia ugomvi wa viongozi katika wizara ukiwemo wa mawaziri na makatibu wakuu. Dk…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bil 140/- kujenga barabara za Ilala

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewaomba wananchi waendelee kuiunga mkono serikali kwa kuwa imetoa fedha nyingi za ujenzi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Samia ahimiza kuomba amani, ustahimilivu

RAIS Samia Suluhu Hassan amewahimiza Watanzania kuendelea kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano viendelee kudumu nchini.

Soma Zaidi »
Infographics

Rais Samia afungua Bunge 13

DODOMA: RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 14 amefungua rasmi Bunge la Kumi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Samia: Wizara maalum ya vijana kuanzishwa

DODOMA: RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali ya awamu ya sita imejipanga kabisa…

Soma Zaidi »
Back to top button