Mwandishi wetu

Siasa

Wasira awaonya walioanza mbio za Urais

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030…

Soma Zaidi »
Tanzania

Umeme: Mkakati mpya kuanza Julai

SERIKALI itaanza utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Ufanisi wa Nishati, Julai Mosi mwaka huu ili kuimarisha matumizi bora ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Polisi wamkamata kijana kwa mauaji

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Gilbert Edwin Mwabulesi (26), mkazi wa Kijiji cha Ibililo, Wilaya ya Rungwe, kwa…

Soma Zaidi »
Biashara

Wakulima wazuiwa kuuza korosho nje

MKUU wa Wilaya ya Tabora Upendo Wella, amepiga marufuku wakulima wa zao la korosho kuuza mazao yao nje ya mkoa…

Soma Zaidi »
Biashara

Tozo 628 zapunguzwa kuinua biashara

RAIS wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mazingira ya biashara nchini Tanzania yameendelea kuimarika kwa kiwango kikubwa kufuatia hatua…

Soma Zaidi »
Biashara

Watendaji watajwa kikwazo cha biashara

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo amesema juhudi za kuboresha mazingira ya biashara nchini…

Soma Zaidi »
Siasa

‘Muwe mabalozi wa amani’

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira amewataka wanachama wa chama hicho kuwa mabalozi wa amani ndani…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Atiki Ally, mastaa wa Ulaya kuipambania Dar City kesho

DAR CITY itaanza rasmi safari yake ya kusaka mafanikio kwenye michuano ya Basketball Africa League (BAL) Kalahari Conference kesho, itakapomenyana…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Wakusanya taarifa watakiwa kujisajili

TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetoa onyo la mwisho kwa taasisi zote zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi kujisajili…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Mwinyi afungua fursa sekta ya anga

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha sekta ya usafiri wa…

Soma Zaidi »
Back to top button