Kulthum Ally

Kimataifa

Hamas yakubali kusitisha vita Gaza

GAZA, PALESTINA: KUNDI la Hamas limetangaza kukubali pendekezo jipya la kusitisha vita kwa muda mfupi katika Ukanda wa Gaza.

Soma Zaidi »
Amerika

Putin, Zelensky wakubaliana kukutana

WASHINGTON DC: MARAIS wa Urusi na Ukraine wamekubaliana kufanya mazungumzo ya amani, hatua ambayo ni ya kwanza tangu Urusi iivamie…

Soma Zaidi »
Africa

Boti ya abiria yazama ,10 wako salama

NIGERIA : ZAIDI ya watu 40 hawajulikani waliko baada ya boti ya abiria kuzama Jumapili, Agosti 17, 2025, nchini Nigeria.

Soma Zaidi »
Kimataifa

Iran kuendeleza mazungumzo IAEA

TEHRAN : SERIKALI ya Iran imesema itaendelea na mazungumzo na Shirika la Kudhibiti Nyuklia la Umoja wa Mataifa (IAEA), licha…

Soma Zaidi »
Asia

Mazoezi ya kijeshi yaiva Seoul

SEOUL : KOREA KUSINI kwa kushirikiana na Marekani wameanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya pamoja yanayolenga kukabiliana na vitisho vya…

Soma Zaidi »
Africa

Rasimu ya amani yawasilishwa DRC

DOHA : RASIMU ya makubaliano ya amani kati ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na waasi wa…

Soma Zaidi »
Asia

Watu 300 wapoteza maisha Pakistan

ISLAMABAD : IDADI ya vifo imefikia karibu watu 300 kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha kuporomoka kwa majengo katika Wilaya ya Buner,…

Soma Zaidi »
Amerika

Syria yataka amani

DAMASCUS : RAIS wa Syria, Ahmed al-Sharaa, amesema juhudi za kuunganisha taifa hilo baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe…

Soma Zaidi »
Amerika

Ursula,Zelensky kuungana Marekani

WASHINGTON DC : VIONGOZI wa mataifa ya Ulaya wanatarajiwa kuungana na Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine leo Jumatatu nchini Marekani…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kilimanjaro ya Sweden yaibuka kidedea

ANTWERP,UBELIGIJI : TIMU ya soka ya Watanzania iitwayo Kilimanjaro kutoka Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa…

Soma Zaidi »
Back to top button