Kulthum Ally

Zanzibar

Dk.Mwinyi azindua Chuo cha Ualimu Nkrumah

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali itaendelea kuchukua hatua…

Soma Zaidi »
Africa

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

DARFUR, SUDAN : SHIRIKA la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeripoti kuwa takriban watu 40 wamefariki dunia katika eneo la…

Soma Zaidi »
Africa

Juba yakanusha kuwapokea Wapalestina

JUBA, SUDAN KUSINI : WIZARA ya Mambo ya Nje ya Sudan Kusini imekanusha ripoti zinazodai kuwa imefanya mazungumzo na Israel…

Soma Zaidi »
Amerika

Ushuru Marekani, Brazil yachukua hatua

SERIKALI ya Brazil imezindua mpango wa kuyaunga mkono makampuni ya ndani yaliyoathiriwa na ushuru wa asilimia 50 uliotangazwa na Rais…

Soma Zaidi »
Amerika

Marekani yaitaka Urusi kusitisha mapigano

MAREKANI : RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuchukua hatua kali dhidi ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, endapo hatokubaliana…

Soma Zaidi »
Africa

EU yatishia kuiwekea vikwazo Iran

GENEVA : UFARANSA na Ujerumani zimeonya zitarudisha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran iwapo suluhu la kidiplomasia halitapatikana…

Soma Zaidi »
Africa

Marekani yaidhibiti Pareco-FF

WASHINGTON DC : MAREKANI imeliwekea vikwazo kundi lenye silaha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linaloshutumiwa kwa uchimbaji haramu wa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Joto kali Ulaya laua watatu

LONDON, UINGEREZA : WATU watatu wamefariki dunia na maelfu kulazimika kuyahama makazi yao kutokana na mioto ya nyika inayosababishwa na…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Trump, Putin kukutana Alaska wiki hii

ALASKA : VIONGOZI wa Umoja wa Ulaya (EU) wamemuomba Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhakikisha usalama wao katika mkutano wa…

Soma Zaidi »
Asia

Daktari jela miaka 15 kumdhalilisha mgonjwa

SRI LANKA : MAHAKAMA Kuu ya Anuradhapura, Sri Lanka, imemkuta na hatia daktari mwenye umri wa miaka 70 kwa kosa…

Soma Zaidi »
Back to top button