Kulthum Ally

Kimataifa

Mgombea urais Colombia afariki dunia

BOGOTA, COLOMBIA : MGOMBEA Urais wa Colombia, Miguel Uribe, amefariki dunia usiku wa kuamkia Jumanne, miezi miwili baada ya kushambuliwa…

Soma Zaidi »
Africa

Rwanda yapinga tuhuma za kuisaidia M23

RWANDA : SERIKALI ya Rwanda imetupilia mbali tuhuma za Umoja wa Mataifa kwamba jeshi lake limekuwa likiunga mkono waasi wa…

Soma Zaidi »
Africa

Wanamgambo RSF waua 40 Darfur

DARFUR : WATU 40 wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa baada ya wanamgambo wa Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) kushambulia…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ofisi ya msajili wa hazina yaandaa CEO Forum 2025

DAR-ES-SA;AAM : OFISI ya Msajili wa Hazina imeandaa kikao kazi maalum ‘CEO Forum 2025’ kitakachowaleta pamoja Wenyeviti wa Bodi na…

Soma Zaidi »
Africa

Mali yakabili jaribio la mapinduzi

BAMAKO , MALI : SERIKALI ya kijeshi nchini Mali imewakamata karibu wanajeshi 50 wanaoshukiwa kupanga njama ya kupindua utawala huo,…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Waandishi watano Al Jazeera wauawa Gaza

GAZA, PALESTINA : KITUO cha Habari cha Al Jazeera kimethibitisha waandishi wake watano kuuawa katika shambulio la anga la Israel…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Australia yatangaza kuitambua Palestina

CANBERRA, AUSTRALIA : SERIKALI ya Australia imetangaza kuitambua rasmi Palestina kama taifa huru katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa…

Soma Zaidi »
Tanzania

TADB yamshukuru Rais Samia kwa kuiwezesha kukuza mtaji

DODOMA : BRNKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu…

Soma Zaidi »
Kimataifa

UN yaipinga Israel kuongeza mapigano Gaza

NEW YORK: UMOJA wa Mataifa umesema unapinga vikali mpango wa Israel wa kupanua operesheni zake katika Ukanda wa Gaza.

Soma Zaidi »
Kimataifa

Trump, Putin kukutana wiki ijayo

GENEVA : NAIBU Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa, Dmitry Polyanskiy, amesema Rais wa Urusi, Vladimir Putin, huenda akakutana…

Soma Zaidi »
Back to top button