Mwandishi wetu

Zanzibar

Mwinyi kuwakilisha Tanzania mkutano wa bahari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amewasili jijini Mombasa kwa ziara ya kikazi ya…

Soma Zaidi »
Biashara

Shabiby: Mfumo wa leseni za bodaboda upitiwe upya.

DODOMA: MBUNGE wa Gairo, Ahmed Shabiby, ameutaka Serikali kupitia upya mfumo wa utoaji wa leseni kwa waendesha bodaboda, akieleza kuwa…

Soma Zaidi »
Bunge

Kadogosa: Biashara ndogondogo zahitaji mazingira wezeshi

MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, amesema biashara ndogondogo zinapaswa kuwekewa mikakati madhubuti na mazingira rafiki ili ziweze kustawi na…

Soma Zaidi »
Bunge

Spika ahoji TCRA, CMSA

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, ameziagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na…

Soma Zaidi »
Afya

Utunzaji salama vimelea wasisitizwa

WATAALAMU wa maabara nchini wametakiwa kuzingatia kwa umakini mkubwa maadili na viapo vya taaluma yao ili kulinda jamii dhidi ya…

Soma Zaidi »
Habari Kwa Kina

Urejeshaji duni mikopo ya elimu,teknolojia yatajwa kuwa suluhu

“MWAKA jana nilikuwa nimepata chuo  nikaomba mkopo lakini nilivyokosa, nikashindwa kwenda chuo,” anasema Singo Mrombo (20). Anaongeza: “Ninamtegemea mama yangu…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Mradi Kidijitali kuwanufaisha wanawake Lakimoja

ZAIDI ya wanawake 100,000 kutoka maeneo mbalimbali nchini wanatarajiwa kunufaika na mradi wa miaka mitatu wa uwezeshaji wa wanawake kiuchumi…

Soma Zaidi »
Afya

Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji macho

JUMLA ya  wagonjwa 823 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho katika kambi maalum ya madaktari bigwa iliyowekwa na Serikali…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ndejembi azindua kituo cha kuchajia magari

SERIKALI imezindua Kituo cha Kuchajia Vyombo vya Usafiri Vinavyotumia Umeme jijini Dodoma, katika hatua inayolenga kuharakisha matumizi ya nishati safi…

Soma Zaidi »
Bunge

Pato la mtanzania mmoja lafikia Mil.3.5

WASTANI wa pato la taifa kwa mtu mmoja mmoja nchini umeongezeka kwa asilimia 7.4 na kufikia shilingi 3,544,124 sawa na…

Soma Zaidi »
Back to top button