Bashungwa: Hakuna atakayethubutu kuandamana Okt 29

KAGERA: MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Karagwe na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amewaondoa shaka Watanzania akisisitiza uhakika wa uwepo wa usalama wa kutosha katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.
Akizungumza wakati wa mkutano wa mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM) wilayani Karagwe mkoani Kagera leo Oktoba 15, Bashungwa amesema vyombo vya usalama vinaendelea na majukumu yake kuhakisha amani ya nchi inaendelea kuwepo.
“Ninaomba niwahakikishie wana Karagwe na Watanzania kwa ujumla kuwa tangu Rais unipe jukumu la kuisimamia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinaendelea kufanya kazi kwa weledi mkubwa ili kuhakiksha amani ya Tanzania inaendelea kutamalaki” amesema Bashungwa na kuongeza
Hakutakuwa na mtu yoyote atakayethubutu kuandamana Oktoba 29 atakayefanya hivyo atakutana na kisiki, niwaombe vijana wa Tanzania msikubali kuingia kwenye mkumbo huo tuendelee kushirikiana katika kulijenga taifa letu” amehitimisha Bashungwa
I get paid more than $100 to $500 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this I have earned easily 💵$20k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…
Here is I started.→→→→→→→→→ https://Www.Works6.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
MÂÂÂÂÂÂoÂÂÂÂÂÂrÂÂÂÂÂÂe DÂÂÂÂÂÂeÂÂÂÂÂÂtÂÂÂÂÂÂaÂÂÂÂÂÂiÂÂÂÂÂÂlÂÂÂÂÂÂs For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com