Mwandishi Wetu

Bunge

Serikali yatenga Sh bilioni 200 kwa wananchi

DODOMA: Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 200 kwa ajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za kiuchumi nchini kote, ikiwemo sekta…

Soma Zaidi »
Bunge

Bajeti Wizara ya Nishati yapita kwa kishindo

DODOMA: Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha shilingi trilioni 2.53 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati…

Soma Zaidi »
Fedha

Equity yafungua tawi Ubungo kuwakutanisha wafanyabiashara

DAR ES SALAAM: Benki ya Equity imezindua tawi jipya katika eneo la Ubungo, jijini Dar es Salaam, ndani ya jengo…

Soma Zaidi »
Bunge

Kamati yataka maboresho mfumo wa ajira

DODOMA: Serikali imeshauriwa kuboresha mfumo wa ajira nchini kwa kuruhusu waombaji wenye sifa na vyeti vya ngazi mbalimbali kushiriki katika…

Soma Zaidi »
Bunge

Mipango yasukwa kuimaliza rushwa

DODOMA: Serikali imepanga kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa katika mwaka wa fedha 2026/27, ikiwemo kufanya utafiti…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

Prof. Mkumbo ataja mambo 6 kufikia Dira 2050

DODOMA:WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof Kitila Mkumbo, ameweka wazi mambo sita ya msingi ambayo…

Soma Zaidi »
Biashara

Serikali kuondoa vikwazo uanzishaji biashara

DODOMA: serikali imelenga kuondoa vikwazo vinavyokwamisha uanzishwaji na uendeshaji wa biashara kwa kufanya mapitio ya sheria na kanuni ambazo sio…

Soma Zaidi »
Bunge

Wanafunzi wa Nyani, Mafizi watengewa milioni 68

DODOMA: Serikali imeeleza kuwa inaendelea kujenga shule za sekondari katika kata mbalimbali nchini ili kuwapunguzia umbali wanafunzi kote nchini wakiwemo…

Soma Zaidi »
Bunge

Mbunge ataka ‘Internship’ iwe kigezo cha uzoefu katika ajira

DODOMA: MBUNGE wa Viti Maalumu, Selina Kingalame ameishauiri serikali kuanzisha Mfumo wa Elimu kwa Vitendo (Internship) kwa kada nyingine za…

Soma Zaidi »
Bunge

Vijana waongoza maambukizi ya VVU

DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Catherine Joachim, amesema kuwa takwimu za utafiti uliofanyika mwaka 2022 zinaonesha kuwa maambukizi mapya…

Soma Zaidi »
Back to top button