Afya

Wapewa mbinu kuepuka udumavu

LONGIDO: WANANCHI wanaoshi maeneo ya Pemberton wameagizwa kutumia makundi saba ya vyakula ili kuhakikisha wanaondokana na tatizo la udumavu. Agizo…

Soma Zaidi »

Kanisa la TAG kujenga hospitali 32 nchi nzima

MOROGORO; KANISA la Tanzania Assemblies of God (TAG) limeanzisha mpango mkakati na endelevu wa kujenga hospitali za kisasa 32 mikoani…

Soma Zaidi »

Wananchi 5,000 kunufaika na mradi wa zahanati mji Handeni

TANGA: ZAIDI ya wananchi 5,000 waliopo katika mitaa mitano ya kata ya Msasa katika Halmashauri ya Mji Handeni wanakwenda kunufaika…

Soma Zaidi »

Muhas yatoa elimu sabasaba huduma za dharura

DAR ES SALAAM: WATANZANIA wanaendelea kuelimishwa namna ya kukabiliana na huduma za dharura kwa wagonjwa wanaokutana na changamoto mbalimbali za…

Soma Zaidi »

Mfumo kudhibiti vifo vya uzazi wazinduliwa Dar

DAR ES SALAAM: SERIKALI kwa kushirikiana na Ubalozi wa Denmark nchini wamezindua rasmi programu maalumu itayotumiwa na wakunga kujifunza namna…

Soma Zaidi »

DC Mgomi aendelea kuhamasisha lishe bora

SONGWE: MKUU wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ameendelea na kampeni ya kuhamasisha lishe bora kwa watoto kupitia Siku ya…

Soma Zaidi »

Madeni MSD yalipwe – RC Mwassa

KAGERA:  VITUO Vya kutolea huduma za afya vimetakiwa kuhakikisha vinalipa madeni wanayodaiwa na Bohari ya Dawa (MSD) kabla ya mwaka…

Soma Zaidi »

Huduma za kibingwa kutolewa Sabasaba

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imesema itafanya kliniki maalum ya huduma za kibingwa…

Soma Zaidi »

Kampuni yatoa msaada wa viti zahanati Itezi

MBEYA: KAMPUNI ya Kati Investment imetoa msaada wa viti vinane vya wagonjwa vyenye thamani ya Sh milioni 1.5 kwa Zahanati…

Soma Zaidi »

Mambo 12 ya TMDA miaka minne ya Samia

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), ina jukumu la kulinda afya ya jamii kwa kudhibiti ubora, usalama na ufanisi…

Soma Zaidi »
Back to top button