Afya

Mapafu ya nguruwe kupandikizwa binadamu

GUANGZHOU:MADAKTARI Bingwa nchini China wamefanikiwa kupandikiza mapafu kutoka kwa nguruwe kwenda kwa binadamu.

Soma Zaidi »

Mlanguzi wa dawa za kulevya akamatwa

MEXICO: ALIYEKUWA kiongozi wa magendo nchini Mexico, Ismael “El Mayo” Zambada, amekiri kushiriki katika vitendo vya ulanguzi wa dawa za…

Soma Zaidi »

Botswana yakabiliwa na uhaba wa dawa

BOTSWANA : SERIKALI ya Botswana imetangaza hali ya dharura ya kiafya baada ya kuporomoka kwa mnyororo wa usambazaji wa bidhaa…

Soma Zaidi »

Hospitali Haydom kinara uzazi salama

‎Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya Kilutheli Haydom, iliyoko wilayani Mbulu mkoa wa Manyara ambaye pia ni kiongozi wa mradi wa…

Soma Zaidi »

Matumzi ya vilevi hatari ukomo wa hedhi

DAKTARI bingwa wa magonjwa ya uzazi na masuala ya wanawake Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH), Dk Lilian Mnabwiru amesema endapo mwanamke…

Soma Zaidi »

Mtaalamu aeleza umri halisi ukomo wa hedhi

DAR ES SALAAM; Daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi  na masuala ya wanawake Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk Lilian…

Soma Zaidi »

UTI yatumiwa vibaya kujipatia mapato

JAMII imetakiwa kupewa elimu ya kutosha kuhusu maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ili kuepuka matumizi holela ya dawa yanayosababishwa…

Soma Zaidi »

Samia aboresha upatikanaji dawa nchini, ununuzi 98%

SERIKALI ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, imeboresha upatikanaji wa dawa nchi nzima, kwani…

Soma Zaidi »

Tiba utalii yaongezeka, yaingiza Sh Bil 116

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Diplomasia kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi John Ulanga amesema kumekuwa na ongezeko la…

Soma Zaidi »

MSD yaitembelea taasisi mwenza ya Madagascar

Watendaji wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) wakiongozwa na Meneja wa Masoko ya Kikanda, Nabila Hemed wametembelea Bohari Kuu ya…

Soma Zaidi »
Back to top button